10 Siku moja ya Sabato, Yesu alikuwa akifundisha katika nyumba ya kuabudia.
Yesu alizunguka katika Galilaya yote akifundisha katika nyumba zao za kuabudia, akihubiri Habari Njema ya Ufalme. Aliponyesha watu waliokuwa na magonjwa yote na uzaifu wa kila namna.
Naye akaendelea kuhubiri katika Yudea ndani ya nyumba za kuabudia.
Hivi utaweza labda kutoa matunda mwaka kesho! Kama si vile, basi utaukata!’ ”