Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 13:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Katika siku zile watu wamoja wakakuja kumwelezea Yesu habari juu ya wale watu wa Galilaya waliouawa na liwali Pilato walipokuwa wakichinja nyama za kutolea Mungu sadaka.

Gade chapit la Kopi




Luka 13:1
8 Referans Kwoze  

Angalia, ee Yawe, uone! Kuna yeyote uliyemutendea kama ulivyotutendea sisi, hata wamama wawakule watoto wao nao makuhani wauawe ndani ya hekalu lako?


Nyuma yake, katika siku zile walipofanya hesabu ya watu, kulitokea Yuda wa jimbo la Galilaya. Huyo naye aliwavuta watu wengine kwa kumufuata. Lakini yeye vilevile aliuawa na wanafunzi wake wote wakasambazwa.


Wakamufunga, wakamupeleka na kwenda kumutoa kwa liwali Pilato.


Kulipokucha, wakubwa wote wa makuhani na wasimamizi wa watu wakakata shauri la kumwua Yesu.


Watu hao wakawaambia: “Ninyi Wagalilaya, sababu gani munasimama pale mukiangalia mbinguni? Huyu Yesu aliyenyanyuliwa toka katikati yenu kwenda mbinguni, atarudi sawa vile mulivyomwona akienda.”


Wakashituka na kushangaa, wakisema: “Hawa wote wanaosema si wazaliwa wa Galilaya?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite