Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 12:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 “Ndege watano wadogo, si wanauzishwa kwa bei chini kabisa? Hata vile Mungu hasahau hata mumoja wao.

Gade chapit la Kopi




Luka 12:6
8 Referans Kwoze  

Mufikiri juu ya kibombobombo: ndege hao hawapandi mbegu, hawavuni, hawana gala wala nafasi yoyote ya kuwekea mavuno, lakini Mungu anawalisha. Ninyi ni wa lazima zaidi kuliko ndege!


Ndege wawili wadogo wanauzishwa kwa bei chini kabisa. Ingawa vile hakuna hata mumoja wao anayekufa bila mapenzi ya Baba yenu.


Anawapa nyama chakula chao, na kulisha vitoto vya kibombobombo vinapomulilia.


Mufikiri juu ya namna maua yanavyoota. Hayasumbuki wala kujisukia nguo. Lakini ninawaambia kwamba hata mufalme Solomono katika utukufu wote aliokuwa nao, hakuvaa nguo inayoweza kulinganishwa na uzuri wa moja la maua.


Na kukakuja mujane mumoja masikini, akatoa vikoroti viwili vidogo sana vinavyolingana na sengi mbili.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite