Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 12:57 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

57 “Sababu gani ninyi wenyewe hamuwezi kujiamulia jambo la haki?

Gade chapit la Kopi




Luka 12:57
10 Referans Kwoze  

Muache kuhukumu kufuatana na hali ya inje, lakini muhukumu kwa haki.”


Wangekuwa na hekima wangejua kwa nini walishindwa, wangeweza kuelewa mwisho wao utakuwa namna gani.


Hali ya asili yenyewe inawaonyesha kuwa ni haya kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu,


Munapoona kwamba majani yao yanaanza kuchipuka, munatambua wenyewe kwamba wakati wa jua kali unakaribia.


Kwa maana Yoane alikuja kwenu kuwaonyesha njia ya haki, nanyi hamukumusadiki. Lakini walipishaji wa kodi na makahaba walimusadiki. Na ijapokuwa muliona mambo hayo yote, hamukugeuka toka zambi zenu na kumusadiki.”


Petro akazidi kusema maneno mengine ya kuwaonya na kuwatia moyo, akisema: “Mujiokoe toka kati ya kizazi hiki kipotovu!”


Yesu akawajibu: “Kweli ninawaambia: mukimwamini Mungu pasipo kuwa na shaka, hamutaweza kufanya tu kama nilivyotendea muti huu, lakini vilevile mutaweza kuuambia mulima huu: ‘Ondoka hapa, ujitupe katika bahari,’ na itakuwa vile.


Muamue ninyi wenyewe: ni vema mwanamuke asifunike kichwa anapoomba Mungu wakati wa ibada?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite