Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 12:53 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

53 Baba atapingana na mwana wake, na mwana atapingana na baba yake. Mama atapingana na binti yake, na binti atapingana na mama yake. Mama mukwe atapingana na muke wa mutoto wake, na muke yule atapingana na mama mukwe yake.”

Gade chapit la Kopi




Luka 12:53
6 Referans Kwoze  

Maana, mutoto mwanaume anamuzarau baba yake; mutoto mwanamuke anabishana na mama yake, muke wa mwana anapingana na mama mukwe wake. Waadui wa mutu ni watu wa nyumba yake.


Kwa wakati ule watu wengi wataanguka katika imani yao; watatoana wao kwa wao na kuchukiana.


Kwa maana nimekuja kuleta matengano kati ya mutu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mukwe na mama mukwe;


Kwa maana tangu sasa watu watano wa jamaa moja watatengana; watatu watapingana na wawili, na wawili watapingana na watatu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite