51 Munazania kwamba mimi nimekuja kuleta amani katika dunia? Ninawaambia ninyi: si vile, nimekuja kuleta matengano.
“Nimekuja kuleta moto katika dunia, nami ningetaka sana kuona ukiwa umekwisha kuwaka!
Kisha nikavunja ile fimbo yangu ya pili niliyoiita “Umoja” na hivyo nikauvunja umoja kati ya Yuda na Israeli.
Kwa maana tangu sasa watu watano wa jamaa moja watatengana; watatu watapingana na wawili, na wawili watapingana na watatu.
Paulo alipokwisha kusema maneno haya, Wayuda wakaenda wakibishana sana wao kwa wao.]