50 Niko na muzigo wa mateso ninaopaswa kubeba, nami ninasongwa sana mpaka mapaswa hayo yatakapotimizwa!
Wakati Yesu alipokwisha kumeza ile divai, akasema: “Yote yametimilika!” Kisha akainamisha kichwa na kukata roho.
Yesu akawaambia: “Chakula changu ni kufanya mapenzi ya yule aliyenituma na kutimiza kazi yake.
Halafu nikasema: “Ninakuja. Katika kitabu imeandikwa juu yangu.
Wandugu zake walipokwisha kwenda kwa sikukuu ile, Yesu akaenda kule vilevile, lakini alienda kwa siri bila kujionyesha waziwazi.
Basi sasa kwa kuwa ninalazimishwa na Roho Mutakatifu, nitakwenda Yerusalema pasipo kujua mambo yatakayonitokea kule.
Lakini Yesu akamwambia Petro: “Rudisha upanga wako katika kifuko chake! Inanipasa kunywa kikombe cha mateso Baba yangu alichonitayarishia.”
Waliungama zambi zao, naye Yoane aliwabatiza katika muto Yordani.
“Nimekuja kuleta moto katika dunia, nami ningetaka sana kuona ukiwa umekwisha kuwaka!