Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 12:46 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

46 Basi bwana wa mutumishi yule atakuja siku asiyozania, na saa asiyoijua. Naye atamupiga vikali na kumwazibu sawa na watu wasiokuwa waaminifu.

Gade chapit la Kopi




Luka 12:46
14 Referans Kwoze  

Kwa hiyo ninyi vilevile mukuwe tayari, kwa sababu Mwana wa Mutu atarudia saa musiyozania.”


“Sikiliza, ninakuja kwa saa isiyozaniwa kama vile mwizi. Heri yule anayekesha na kutunza nguo zake vizuri kusudi asitembee uchi na kujifezehesha mbele ya watu.”


Naye atamupiga vikali na atamwazibu sawa na watu wanafiki, akimuweka kwenye nafasi atakapolia na kusaga meno.


Yawe hatawaachilia watu wake; hatawatupa hao wanaokuwa mali yake.


Watu wanaotenda mabaya wataangamizwa, lakini wanaomutumainia Yawe watarizi inchi.


Yawe anawapima watu wa haki na waovu; anawachukia wanaopenda kutesa kwa ukali.


Hii ndiyo sehemu ya mutu mwovu kutoka kwa Mungu, ndio mwisho aliopangiwa na Mungu.


Basi bwana wa mutumishi yule atakuja siku asiyozania na saa asiyojua.


Lakini kama mutumishi yule akijisemesha mwenyewe kwamba bwana wake anakawia kurudia; na halafu anaanza kuwapiga watumishi wenzake, wanaume na wanawake, naye anakula na kunywa na kulewa.


“Mutumishi anayejua mapenzi ya bwana wake, lakini anakosa kujiweka tayari na kutofanya sawa na mapenzi ya bwana yule, atapigwa fimbo nyingi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite