Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 12:43 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

43 Heri mutumishi yule, ikiwa saa bwana wake anaporudia, anamukuta akifanya kazi ile.

Gade chapit la Kopi




Luka 12:43
8 Referans Kwoze  

Bwana akajibu: “Ni nani basi anayekuwa musimamizi mwaminifu na mwenye akili? Ni yule bwana wake aliyemuweka kwa kuwasimamia watumishi wake wengine na kumwamuru kuwapatia posho lao kwa wakati uliopangwa.


Kweli ninawaambia: bwana wake atamuweka mutumishi yule kuwa musimamizi wa mali yake yote.


Nitawaangalia waaminifu katika inchi, wapate kuishi pamoja nami. Watu wakamilifu, ndio watakaonitumikia.


Anayetunza muti wa tini atakula matunda yake. Anayetumikia bwana wake ataheshimiwa.


Heri mutu anayefuata maneno hayo, anayeshika kabisa siku za Sabato kwa heshima na kuepuka kutenda uovu wowote.


Heri mutumishi yule ikiwa saa bwana wake anaporudi, anamukuta akifanya kazi ile.


Heri watumishi wale bwana wao atakaowakuta wakikesha wakati anapofika! Kweli ninawaambia: atafunga mukaba wake vizuri na kuwakaribisha kula chakula, na kubakia pale akiwashugulikia.


Kwa sababu hiyo, wapendwa wangu, mukiwa munangojea mambo yale, mufanye bidii apate kuwakuta safi bila kosa lolote na mukae na amani pamoja naye.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite