29 Basi musijisumbue kwa kutafuta chakula au kinywaji.
“Basi musijisumbue kwa ajili ya chakula, kwa ajili ya kinywaji au kwa ajili ya nguo.
Halafu Yesu akawauliza wanafunzi wake: “Nilipowatuma pasipo kubeba feza, wala mufuko, wala viatu, mulikosewa na kitu gani?” Wakamujibu: “Hakuna.”
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Ni kwa sababu hii ninawaambia: musijisumbue kwa ajili ya maisha yenu, kwamba mutakula nini; wala musijisumbue kwa ajili ya miili yenu, kwamba mutavaa nini.
Ni wapagani ndio wanaotafutatafuta vitu hivyo vyote. Baba yenu anajua kwamba munahitaji vitu hivyo.
Basi ikiwa hamuwezi kufanya kitu kidogo kama hiki, kwa nini munajisumbua juu ya vitu vingine?