Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 12:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 kwa sababu Roho Mutakatifu atawafundisha saa ile ile maneno munayopaswa kusema.”

Gade chapit la Kopi




Luka 12:12
11 Referans Kwoze  

Kwa maana mimi mwenyewe nitawapa masemi na hekima hata waadui zenu hawataweza kuyapinga wala kuyakataa.


Maneno mutakayoyasema hayatatoka kwenu, lakini yatatoka kwa Roho wa Baba wenu Mungu atakayesema ndani yenu.


Halafu Petro akiwa amejazwa na Roho Mutakatifu, akawajibu: “Ninyi wasimamizi wa watu, nanyi wazee:


lakini hawakuweza kumushinda kwa sababu ya hekima yake na kwa sababu ya Roho Mutakatifu aliyemwongoza kusema.


Halafu Yawe akamwuliza: “Ni nani aliyeumba kinywa cha mutu? Ni nani anayemufanya mutu kuwa bubu au kiziwi? Aone au akuwe kipofu? Si mimi Yawe?


Lakini Stefano akijazwa na Roho Mutakatifu, akakaza macho kuelekea mbingu akaona mwangaza wa utukufu wa Mungu naye Yesu akisimama na mamlaka karibu na Mungu.


Basi, kwenda! Mimi nitaongoza kinywa chako na kukufundisha cha kusema.”


Lakini watakapowapeleka kwa kuhukumiwa, musijihangaishe juu ya maneno mutakayoyasema wala juu ya namna mutakavyosema, kwa maana saa ile ile mutapewa maneno mutakayoyasema.


Mutu mumoja katika kundi akamwambia Yesu: “Mwalimu, umwambie ndugu yangu anipe sehemu yangu ya urizi, baba aliotuachia.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite