Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 11:54 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

54 wakimupima kusudi wapate kumunasa katika masemi yake.

Gade chapit la Kopi




Luka 11:54
12 Referans Kwoze  

Wafarisayo wamoja na watu wamoja waliojiunga na Herode walitumwa kwa Yesu kusudi wamunase katika masemi.


Na mumoja wao, aliyekuwa mwalimu mukubwa wa Sheria, akamufikia Yesu na kumwuliza hivi kwa kumupima:


Wafarisayo walienda kufanya shauri kusudi wapate kumunasa Yesu katika masemi.


Basi wakaanza kumuvizia Yesu, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa kama watu wazuri kusudi wamunase katika masemi. Na kwa njia ile waweze kumutoa katika mikono ya watawala wa inchi.


Watu waliokuwa mule wakamuchunguza Yesu kusudi waone kama atamuponyesha mutu yule kwa siku ya Sabato, wapate sababu ya kumushitaki.


Lakini kwa kuwa Yesu alijua makusudi yao mabaya, akawajibu: “Ninyi wanafiki, kwa sababu gani munanipima?


Mufalme wa Israeli aliposoma barua hii alipasua nguo yake na kusema: “Sababu gani mufalme wa Aramu anataka nimuponyeshe mutu huyu ukoma wake? Anafikiri kwamba mimi ni Mungu anayekuwa na uwezo wa kuua au kufufua? Mufahamu basi, muone kwamba mutu huyu anataka kuniletea ugomvi!”


Yesu alipoondoka katika nyumba ya yule Mufarisayo, walimu wa Sheria na Wafarisayo wakaanza kumushambulia vikali sana na kumwuliza maneno mengi


Basi watu wale hawakuweza kumunasa katika neno lolote mbele ya watu, lakini wakashangaa na jibu lake, nao wakanyamaza.


Lakini wewe usikubali ombi lao, kwa sababu kuna watu zaidi ya makumi ine wanaovizia kumwua. Watu hawa wamefanya kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wamwue Paulo kwanza.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite