Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 11:48 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

48 Kwa hiyo, ninyi munashuhudia na kukubaliana na babu zenu; kwa sababu wao waliwaua wale manabii, na ninyi munawajengea makaburi.

Gade chapit la Kopi




Luka 11:48
14 Referans Kwoze  

Wandugu zangu, mukumbuke manabii waliotabiri kwa jina la Bwana, muangalie namna walivyovumilia katika mateso, nanyi mufuate mufano wao.


Hivi munajishuhudia ninyi wenyewe kuwa ninyi ni ukoo wa watu waliowaua manabii.


Lakini wao waliendelea kuwachekelea wajumbe wa Mungu, wakayazarau maneno yake na kuwachekelea manabii wake mpaka kwa mwisho kasirani ya Yawe ikawaka juu ya watu wake hata hakukukuwa wa kuwaponyesha.


Lakini munauliza: Kwa nini mutoto asiazibiwe kwa sababu ya zambi za baba yake? Mutoto akitenda mambo ya haki na ya ukweli, kama akiwa mwangalifu kushika masharti yangu yote, basi, huyo hakika ataishi.


Maneno yako mwenyewe yanakuhukumu, sio mimi; masemi yako yanashuhudia juu yako.


Halafu Yoshua akawaambia: “Ninyi ni washuhuda wenu wenyewe kwamba mumechagua kumutumikia Yawe.” Nao wakamujibu: “Sisi ni washuhuda.”


Lakini Mungu atawapiga mishale, na kuwaumiza kwa rafla.


“Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munafanana na makaburi yaliyopakaliwa chokaa, yanayoonekana kuwa mazuri kwa inje, lakini ndani yanajaa mifupa ya wafu na uchafu wa kila namna.


Ole kwenu! Munajenga makaburi ya manabii, wale waliouawa na babu zenu.


Kwa sababu hii, Mungu anasema katika hekima yake: ‘Nitawatumia manabii na mitume; watawaua wamoja kati yao na kuwatesa wengine wao.’


Nao wanajua kwamba Sheria ya Mungu inasema kwamba watu wanaotenda maneno haya wanastahili kufa. Lakini hata hivi wanaendelea, si kuyafanya tu, lakini kukubaliana na wale wanaoyatenda.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite