Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 11:45 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

45 Mumoja kati ya walimu wa Sheria akamwambia: “Mwalimu, kwa kusema vile unatutukana sisi vilevile.”

Gade chapit la Kopi




Luka 11:45
11 Referans Kwoze  

Nitaongea na nani nipate kumwonya, kusudi wapate kunisikia? Angalia, masikio yao yameziba, hawawezi kusikia ujumbe wako. Maneno ya Yawe, yamegeuka kwao jambo la kuchekelea. Hawalifurahii hata kidogo.


Wafarisayo wamoja waliokuwa pamoja naye waliposikia maneno haya, wakamwuliza: “Ni kusema sisi ni vipofu vilevile?”


Ni nani kati ya wakubwa wetu au kati ya Wafarisayo aliyemwamini?


Watu wa dunia hawawezi kuwachukia ninyi, lakini wananichukia mimi kwa sababu ninashuhudia kwamba matendo yao ni mabaya.


“Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria! Mumewaficha watu ufunguo wasiingie kwenye nafasi wanapoweza kujifunza elimu. Ninyi wenyewe hamuingii pale, nanyi munawazuia wale wanaotaka kuingia.”


Yesu akajibu: “Ole kwenu vilevile, ninyi walimu wa Sheria! Munawabebesha watu mizigo mizito, lakini ninyi wenyewe hamufikiri hata kidogo juu ya namna ya kuwasaidia kuibeba.


Na mumoja wao, aliyekuwa mwalimu mukubwa wa Sheria, akamufikia Yesu na kumwuliza hivi kwa kumupima:


Kila mara ninaposema kitu, ninalalamika, ninapandisha sauti kwa kutangaza mateso na uharibifu. Kutangaza neno la Yawe kunaniletea kuzomewa na kuzarauliwa kila siku.


Naye mufalme wa Israeli akamujibu Yosafati: “Kungali mumoja, Mikaya mwana wa Imula. Yeye tunaweza kumwomba shauri la Yawe. Lakini ninamuchukia sana kwa sababu yeye, hatabiri jambo zuri juu yangu hata kidogo, lakini baya tu.” Yosafati akamwambia: “Si vizuri kwa mufalme kusema hivyo.”


Lakini Wafarisayo na walimu wakubwa wa Sheria walikataa mupango wa Mungu juu yao, na kukataa kubatizwa na Yoane.)


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite