Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 11:37 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

37 Yesu alipomaliza kusema, Mufarisayo mumoja akamwalika kwake kuja kula chakula. Yesu akaenda na kuikaa kule.

Gade chapit la Kopi




Luka 11:37
5 Referans Kwoze  

Siku moja Mufarisayo mumoja akamwalika Yesu kwake kuja kula chakula. Basi Yesu akaenda kwenye nyumba ya yule Mufarisayo, na kuikaa kula chakula.


Siku moja ya Sabato, Yesu aliingia katika nyumba ya mumoja wa wakubwa wa Wafarisayo kwa kula chakula. Mule watu wakabaki wakimuchunguza.


Basi kama mwili wako wote uko katika mwangaza pasipo kiungo kinachokuwa katika giza, mwili wako wote utabaki katika mwangaza kabisa, kama vile taa inavyokuangazia kwa mwangaza wake.”


Mufarisayo yule akashangaa alipoona kwamba Yesu hakunawa mikono mbele ya kula.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite