Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 11:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

33 “Hakuna mutu anayewakisha taa na kuificha au kuifunika na kitunga; lakini anaiweka juu ya kinara kusudi wanaoingia ndani wapate kuona mwangaza.

Gade chapit la Kopi




Luka 11:33
7 Referans Kwoze  

Mimi nimekuja katika dunia kama mwangaza, kusudi mutu yeyote anayeniamini asikae katika giza.


Yesu akajibu: “Katika muchana kuna saa kumi na mbili. Kama mutu akitembea wakati wa muchana hajikwai, kwa sababu anaona mwangaza wa dunia hii.


Neno ninalowaambia katika giza, muliseme muchana kati. Vilevile neno munalosikia kwa siri, mulitangaze mukisimama juu ya paa ya nyumba.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite