30 Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa kitambulisho kwa watu wa Ninawe, ni vile Mwana wa Mutu atakavyokuwa kitambulisho kwa watu wa kizazi hiki.
Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani, nitakutolea sadaka, na kutimiza viapo vyangu. Yawe, ndiye anayeokoa.
Naye Ezekieli atakuwa kitambulisho kwenu: mutafanya kila kitu kama vile alivyotenda. Wakati mambo hayo yatakapotukia, mutatambua kwamba mimi ni Bwana wenu Yawe.
Neno la Yawe lilimufikia Yona mwana wa Amitai kusema hivi: