Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 11:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 “Wakati pepo amekwisha kutoka ndani ya mutu, anazungukazunguka kwenye ukiwa katika jangwa akitafuta nafasi ya kupumzikia. Asipopata nafasi ile, anasema: ‘Nitarudia ndani ya nyumba yangu nilimotoka.’

Gade chapit la Kopi




Luka 11:24
18 Referans Kwoze  

Mukuwe waangalifu na mukeshe, kwa maana adui yenu Shetani anazungukazunguka kama simba anayenguruma akitafuta yule atakayerarua.


Zaburi ya Daudi wakati alipokuwa katika jangwa la Yudea.


Yawe akamwuliza Shetani: “Unatoka wapi wewe?” Naye Shetani akamujibu Yawe: “Ninatoka kutembeatembea na kuzungukazunguka katika dunia.”


Yawe akamwuliza Shetani: “Unatoka wapi wewe?” Shetani akamujibu Yawe: “Ninatoka kutembeatembea na kuzungukazunguka katika dunia.”


Akazidi kumusihi Yesu kwamba asiwatoshe wale pepo katika inchi ile.


Lakini Yawe anasema hivi: Hakuna amani kwa watu waovu.


Mulikuwa mukiishi kufuatana na mwenendo mubaya wa dunia hii. Mulitii mutawala wa roho zenye uwezo wa anga anayetawala sasa watu wasiomutii Mungu.


Wakati Yesu alipoona watu wengi wanazidi kukusanyika mbiombio, akamukaripia yule pepo na kumwambia: “Wewe pepo wa bubu na wa kiziwi, ninakuamuru utoke ndani ya mutu huyu wala usimurudilie tena!”


Nitaimwangilia maji inchi yenye kiu, na kutiririsha muto katika inchi iliyokauka. Nitajaza roho wangu juu ya wazao wako, nitawamwangia watoto wako baraka yangu.


Muchanga wa moto katika jangwa utakuwa ziwa la maji, inchi kavu itabubujika vijito. Makao ya imbwa wa pori yatajaa maji; nyasi zitaota na kukomaa kama mianzi.


Waovu hawalali hata kidogo wasipotenda uovu; hawapati usingizi wasipomukwaza mutu.


Anaporudia, anaikuta wazi bila mutu, nayo imefagiliwa na kupambwa vizuri.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite