Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 11:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Kwa maana kila mutu anayeomba anapewa; anayetafuta anapata, anayepiga hodi anafunguliwa mulango.

Gade chapit la Kopi




Luka 11:10
12 Referans Kwoze  

Wakati munapoomba, hamupati kitu kwa sababu munaomba kwa nia mbaya, kwa maana munataka vitu kusudi mutimize tu tamaa zenu.


Nimewaza: Nimekata tamaa kabisa, tumaini langu kwa Yawe limetoweka.


Yawe asifiwe, maana amenionyesha wema wake wa ajabu, nilipozungukwa katika muji unaoshambuliwa.


Tunawaita watu hao kuwa wenye heri, kwa sababu walivumilia. Mumekwisha kusikia habari za uvumilivu wa Yobu, na munajua namna Bwana alivyomutendea kwa mwisho. Maana Bwana anajaa huruma na wema.


Halafu Yesu akawaambia wanafunzi wake mufano huu kwa kuwaonyesha kwamba wanapaswa kuomba siku zote pasipo kuchoka.


Ingawa ninaita na kuomba musaada anazuiza maombi yangu yasimufikie.


Mutu akikuomba kitu, umupe. Na mutu akitaka umukopeshe, usimugeuzie mugongo.


Kwa maana kila mutu anayeomba, anapewa; naye anayetafuta, anapata, naye anayepiga hodi, anafunguliwa.


Nami ninawaambia: muombe nanyi mutapewa; mutafute nanyi mutapata; mupige hodi nanyi mutafunguliwa mulango.


Ni baba gani kati yenu anaweza kumupa mutoto wake nyoka kama akimwomba samaki?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite