Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 10:40 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

40 Lakini Marta alikuwa anafungwa na kazi nyingi za nyumba. Kwa hiyo akamwendea Yesu na kumwambia: “Bwana, haikuhangaishi kitu kuona jinsi dada yangu anavyoniachilia kutumika mimi peke? Umwambie anisaidie.”

Gade chapit la Kopi




Luka 10:40
12 Referans Kwoze  

Musitumikie chakula kinachoharibika, lakini mutumikie chakula kinachodumu na kuleta uzima wa milele. Mwana wa Mutu atawapa ninyi chakula hiki, kwa sababu Mungu Baba ametoa uhakikisho juu yake.”


Basi musijisumbue kwa kutafuta chakula au kinywaji.


Basi Petro akamwita Yesu pembeni na kuanza kumukaripia, akisema: “Ee Bwana, isikuwe vile! Mambo yale hayatakufikia hata kidogo!”


Na ilipokuwa magaribi, wanafunzi wake wakamufikia na kumwambia: “Hapa ni pori na sasa ni magaribi. Uage kundi hili kusudi waende katika vijiji kwa kujinunulia vyakula.”


Lakini Yesu akawageukia na kuwakaripia.


Wandugu zake za jamaa waliposikia maneno haya, wakaondoka kwenda kumutwaa, kwa maana walisema kwamba amepotelewa na akili.


Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakisafiri, wakaingia katika kijiji kimoja. Kule mwanamuke mumoja aliyeitwa Marta akamukaribisha ndani ya nyumba yake.


Bwana akamujibu: “Marta! Marta! Kwa nini unahangaika na kusumbuka kwa ajili ya vitu vingi?


Kulikuwa mutu mumoja aliyeitwa Lazaro, muzaliwa wa Betania aliyepatwa na ugonjwa. Wadada zake Maria na Marta walikaa katika kijiji kile.


Yesu aliwapenda Marta na dada yake pamoja na Lazaro.


Kule wakamutayarishia chakula cha magaribi. Marta aliwashugulikia, na Lazaro alikuwa mumoja wa wale waliokula pamoja na Yesu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite