Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 1:64 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

64 Na pale pale ulimi wa Zakaria ukafunguka, akaanza tena kusema, akasifu Mungu.

Gade chapit la Kopi




Luka 1:64
14 Referans Kwoze  

Maneno yale yatatimia kwa wakati wake uliopangwa, lakini kwa sababu haukuyasadiki, utakuwa bubu. Hautaweza kusema mpaka siku ile mambo hayo yatakapotimia.”


Kisha Yawe akanyoosha mukono wake, akagusa kinywa changu, akaniambia: Nimetia maneno yangu ndani ya kinywa chako.


Wakati mutu huyo alipofika, ilikuwa asubui. Jana yake magaribi Yawe alikuwa amenijaza uwezo wake nami sikuwa bubu tena, nikaanza kusema.


Halafu nitawafundisha wakosaji njia zako, nao wenye zambi watarudi kwako.


Wakati Yesu alipokwisha kumufukuza yule pepo, yule bubu akaanza kusema. Nao watu wote wakashangaa na kusema: “Hatujaona jambo kama hili katika inchi yote ya Israeli!”


Lakini wakati nitakaposema nawe nitakifungua kinywa chako, nawe utawaambia kwamba: “Yawe anasema hivi”. Atakayesikia, asikie; atakayekataa kusikia, akatae; maana hao ni watu waasi.


Siku hiyo mutasema: Ninakushukuru, ee Yawe, maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako imetoweka, nawe umenifariji.


Siku hiyo, nitawafanya Waisraeli wakuwe na nguvu na kukuwezesha wewe Ezekieli useme kati yao. Nao watapata kujua kwamba mimi ni Yawe.


Halafu Yawe akamwuliza: “Ni nani aliyeumba kinywa cha mutu? Ni nani anayemufanya mutu kuwa bubu au kiziwi? Aone au akuwe kipofu? Si mimi Yawe?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite