Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 1:52 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

52 Amewashusha wafalme wenye uwezo, lakini amewainua wanyenyekevu.

Gade chapit la Kopi




Luka 1:52
14 Referans Kwoze  

Halafu miti yote katika inchi itajua kwamba mimi Yawe ninaishusha miti mirefu na kuinua miti mifupi. Mimi ninakausha miti mibichi na kustawisha miti yenye kukauka. Ni mimi Yawe ninayesema hayo na nitayafanya.


Mujinyenyekeze mbele ya Bwana, naye atawainua.


Yesu akaongeza kusema: “Ninawaambia kwamba mutu huyu alirudia kwake akiwa amehesabiwa kuwa na haki mbele ya Mungu, lakini si yule Mufarisayo. Kwa maana kila mutu anayejiinua atashushwa, lakini anayejishusha atainuliwa.”


hata ikiwa alikuwa mufungwa na sasa ni mufalme, au alizaliwa masikini na sasa ni mufalme.


Pinde za wenye nguvu, zimevunjika. Lakini wazaifu wanaendelea kupata nguvu.


Siku inakuja nitakapoisimika nyumba ya Daudi iliyoanguka; nitazitengeneza kuta zake, na kusimika upya mabomoko yake. Nitaijenga upya kama ilivyokuwa tangu zamani.


Huyu si yule museremala, mwana wa Maria, ndugu ya Yakobo, Yose, Yuda na Simoni? Nao wadada zake, si wanaishi hapa kati yetu?” Na kwa hiyo wakakosa kumwaminia.


Kwa maana kila mutu anayejiinua atashushwa, lakini anayejishusha atainuliwa.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite