50 Yeye anawasikilia wale wanaomwogopa huruma kwa vizazi vyote.
Lakini ninawatendea mema maelfu ya wale wanaonipenda na kushika amri zangu.
“Nitasimamisha agano langu nawe, wazao wako na vizazi vyao vyote milele; nitakuwa Mungu wako na Mungu wa wazao wako milele.
Anajibia mahitaji yao wote wanaomwabudu; anasikia kilio chao na kuwaokoa.
Wote wanaomwabudu Yawe waseme: “Wema wake unadumu milele.”
Kama vile anga linavyokuwa juu mbali na dunia, ndivyo kipimo cha wema wake kinavyokuwa kwa watu wanaomwabudu.
Funga midomo ya hao watu waongo, watu wenye kiburi na majivuno, ambao wanazarau watu wa haki.
atawabariki wote wanaomwabudu, atawabariki wakubwa kama vile wadogo.
Kisha sauti ikasikilika toka kwenye kiti cha kifalme ikasema: “Mumusifu Mungu wetu ninyi watumishi wake wote, ninyi wote munaomuheshimu, wakubwa na wadogo!”
lakini anapendezwa na watu wanaomuheshimu, ndio wanaotegemea wema wake.
Ninasikiliza yale Yawe anayosema, maana anaahidi kuwapa watu wake amani, watu wake mwenyewe wasiporudilia upumbafu wao.
sababu Mungu Mwenye Uwezo, amenitendea maajabu. Jina lake ni takatifu.
mutaniabudu mimi Yawe, Mungu wenu, nami nitawaokoa kutoka katika mikono ya waadui zenu.”