Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 1:45 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

45 Heri kwako wewe uliyesadiki kwamba maneno yale uliyoambiwa kutoka kwa Bwana yatatimizwa!”

Gade chapit la Kopi




Luka 1:45
9 Referans Kwoze  

Na Yesu akamwambia: “Umeamini kwa sababu umeniona? Heri wale wanaoamini pasipo kuona!”


Yesu akamwambia: “Sikukuambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?”


Maneno yale yatatimia kwa wakati wake uliopangwa, lakini kwa sababu haukuyasadiki, utakuwa bubu. Hautaweza kusema mpaka siku ile mambo hayo yatakapotimia.”


Kesho yake, wakaamuka asubui mapema, wakaenda mpaka katika jangwa la Tekoa. Walipokuwa wanaondoka, Yosafati akasimama, akawaambia: “Musikilize, enyi watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalema! Mumwamini Yawe, Mungu wenu, nanyi mutakuwa imara. Muwaaminie manabii wake, nanyi mutashinda.”


Kwa maana mara moja niliposikia salamu yako, mutoto akajitingiza kwa furaha ndani ya tumbo langu.


kwa maana ameniangalia kwa huruma, mimi mujakazi wake munyenyekevu. Tangu sasa watu wote wataniita mwenye heri,


Unga ndani ya chungu haukupunguka, wala mafuta katika chupa hayakuisha sawa kabisa na neno la Yawe alilomwambia Elia aseme.


Akaenda na kujifungia ndani ya nyumba na wana wake na kuanza kumimia mafuta ndani ya vyombo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite