40 Akafika kwenye nyumba ya Zakaria, akaingia ndani yake na kumusalimia Elizabeti.
Katika siku Herode alipokuwa mufalme wa Yudea, kulikuwa kuhani mumoja, aliyeitwa Zakaria, wa kundi la makuhani wa ukoo wa Abiya. Muke wake Elizabeti alikuwa vilevile wa uzao wa Kuhani Mukubwa Haruni.
Katika siku zile, Maria akafunga safari, akaenda kwa haraka katika muji mumoja uliokuwa katika vilima vya Yudea.
Elizabeti aliposikia salamu ya Maria, mutoto akajitingiza ndani ya tumbo lake. Elizabeti akajazwa na Roho Mutakatifu,
Uwafurahishe baba na mama yako; mama yako aliyekuzaa afurahi.