Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 1:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 “Sasa Bwana amenifanyia mema kwa kunitendea hivi; ameniondolea haya ya kutokuzaa niliyokuwa nayo mbele ya watu.”

Gade chapit la Kopi




Luka 1:25
14 Referans Kwoze  

Wakati huo wanawake saba watashikamana na mwanaume mumoja na kumwambia: Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee haya yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.


Kwa njia ya imani, Sara mwenyewe vilevile, ijapokuwa alikuwa muzee sana, alijaliwa uwezo wa kupata mimba kwa sababu aliamini kwamba Mungu atatimiza ahadi yake.


Lakini yule malaika akamwambia: “Zakaria, usiogope, kwa maana Mungu amesikia maombi yako. Muke wako Elizabeti atakuzalia mutoto mwanaume, nawe utamwita jina lake Yoane.


Penina alikuwa akimuchokoza sana Hana kusudi amukasirikishe kwa sababu Yawe hakumujalia Hana watoto.


Rebeka alikuwa tasa, kwa hiyo Isaka akamwomba Yawe. Naye Yawe akakubali ombi lake, Rebeka akapata mimba.


Kisha, akamwambia baba yake: “Ninakuomba jambo hili moja, unipatie muda wa miezi miwili, niende na warafiki zangu kwenye milima, niomboleze kifo changu mbele ya kuolewa.”


Bwana wetu Yawe atakiangamiza kifo milele! Atayafuta machozi katika nyuso za watu wote na kuondoa haya ya watu wake katika dunia yote. Yawe amesema hivyo.


Halafu nyuma ya siku zile, muke wake Elizabeti akapata mimba. Hakutokatoka ndani ya nyumba kwa muda wa miezi mitano, akisema:


Basi Mikali binti ya Saulo hakukuwa na mutoto mpaka kufa kwake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite