Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 1:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Alipotoka inje, hakuweza kusema nao, na watu wakatambua kwamba amepata maono ndani ya hekalu. Lakini alikuwa akifanya alama kwa mikono, kwa sababu alibaki bubu.

Gade chapit la Kopi




Luka 1:22
8 Referans Kwoze  

Halafu wakamwuliza baba ya mutoto kwa njia ya kufanya alama jina gani analotaka wamupe.


Yule mukubwa wa kundi la waaskari akamuruhusu. Basi Paulo akasimama juu ya ngazi, akainua mukono kwa kuwaalika watu wanyamaze. Na watu waliponyamaza kabisa, Paulo akawaambia maneno haya katika luga ya Kiebrania:


Watu wamoja katika mukutano wakaeleza mambo yaliyotokea kwa Alesanduro, yeye aliyesukumwa na Wayuda kwenda kusema mbele ya watu. Basi Alesanduro akainua mukono kwa kuwanyamazisha watu, kwa maana alitaka kujitetea mbele yao.


Naye akawanyamazisha kwa kunyoosha mukono, kuwaelezea namna Bwana alivyomwondoa katika kifungo. Akawaambia tena: “Muwaelezee Yakobo na wandugu wengine waamini habari hizi.” Kisha Petro akaondoka na kwenda nafasi ingine.


Basi Simoni Petro akamukonyezea yule mwanafunzi jicho kusudi amwulize Yesu ni nani anayemusema.


Nitaufanya ulimi wako ukuwe muzito nawe utakuwa bubu kusudi usiweze kuwakaripia kwa sababu ni waasi.


Kwa muda wote watu wale walipokuwa inje, wakimungojea Zakaria, wakashangaa kwa kuona anakawia ndani ya hekalu.


Wakati Zakaria alipotimiza siku zake za kazi, akarudia kwenye nyumba yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite