Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 1:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Kundi kubwa la watu walikuwa inje wakiomba saa ile Zakaria alipokuwa akichoma ubani.

Gade chapit la Kopi




Luka 1:10
7 Referans Kwoze  

Wakati Haruni anafanya ibada ya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe, jamaa yake na jamii nzima ya Israeli, kusikuwe hata mutu yeyote ndani ya hema la mukutano mpaka wakati atakapokuwa amemaliza na kutoka inje.


Kisha malaika mwingine akakuja kusimama karibu na mazabahu. Alikuwa akishika chetezo cha zahabu. Naye akapewa ubani mwingi kusudi autoe sadaka pamoja na maombi ya watu wote wa Mungu juu ya mazabahu ya zahabu iliyokuwa mbele ya kiti cha kifalme.


Kwa maana Kristo hakuingia katika Pahali Patakatifu palipojengwa na watu, panapokuwa tu mufano wa Pahali Patakatifu kamili, lakini aliingia katika mbingu yenyewe, pahali anaposimama sasa mbele ya Mungu kwa kututetea.


Basi, kwa kuwa tuko na Kuhani Mukubwa zaidi aliyeingia mbinguni, ndiye Yesu Mwana wa Mungu, tushikamane sana na imani tunayotangaza.


Upokee maombi yangu kama ubani; ninapoinua mikono yangu kwako, unikubali kama sadaka ya magaribi.


Kila siku ya Sabato na sikukuu ya mwandamo wa mwezi, watu wote wataniabudu mimi Yawe mbele ya mulango.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite