Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 9:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Watu wote watatambua, ukoo wote wa Efuraimu na wakaaji wa Samaria. Kwa kiburi na majivuno wanasema:

Gade chapit la Kopi




Isaya 9:8
10 Referans Kwoze  

Mbingu na dunia vitatoweka, lakini maneno yangu hayatabadilika hata kidogo.


Babu zenu hawakupata azabu kwa sababu ya kukataa maagizo yangu na amri nilizowapa kwa njia ya watumishi wangu manabii? Wakati huo, wao waligeuka na kusema kwamba: Yawe wa majeshi alikusudia kututendea kulingana na mienendo yetu na matendo yetu, na kweli ndivyo alivyotutendea.


Yawe ametoa neno juu ya Yakobo nalo litamupata Israeli.


Kuta za matofali zimeanguka lakini sisi tutazijenga kwa mawe yaliyochongwa! Nyumba za nguzo za mikuyu zimeharibiwa lakini pahali pake tutajenga za mierezi.


Ole wa Samaria, muji unaokuwa kama taji juu ya bonde kwenye udongo muzuri. Walevi wa ajabu wa Efuraimu wanajivuna kwa ajili yake, lakini utukufu wake utatoweka kama ua linalonyauka!


Azaria mwana wa Hosaya, Yohana mwana wa Karea na watu wote wenye kiburi, walimwambia Yeremia: Yawe, Mungu wetu, hakukutuma wewe utuambie tusiende Misri, tuishi huko.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite