Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 9:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Kwa hiyo, Yawe hawahurumii vijana wao, hana huruma juu ya wayatima na wajane wao; maana hakuna hata mumoja anayemufuata, kila mutu anasema upumbafu. Hata hivyo, hasira yake haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu.

Gade chapit la Kopi




Isaya 9:16
15 Referans Kwoze  

Muwaache! Wao ni vipofu, wanaongoza vipofu wengine. Na kama kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, wote wawili wanatumbukia ndani ya shimo.”


Watu wangu watateswa na watoto; wanawake ndio watakaowatawala. Enyi watu wangu, wakubwa wenu wanawapotosha, wanavuruga njia munayopaswa kufuata.


Lakini bila shaka, yule anayebarikiwa ni mudogo kuliko yule anayebariki.


Kisha, makuhani na Walawi wakawaombea watu baraka za Yawe, naye katika makao yake matakatifu kule mbinguni akasikia maombi yao na kuyakubali.


Yawe amewamwangia roho ya fujo, wakawapotosha Wamisri katika mipango yao yote, nao wakakuwa kama mulevi anayeyumbayumba akitapika.


Kati ya manabii wa Samaria, nimeona jambo la kuchukiza sana: nao walitabiri kwa jina la mungu Bali na kupotosha watu wangu Waisraeli.


Yawe anasema hivi: Kwa sababu ya makosa matatu ya watu wa Yuda, hata kwa mane, sitageuza nia yangu. Wamezarau sheria zangu, wala hawakufuata masharti yangu. Wamepotoshwa na miungu ileile babu zao waliyoifuata.


Yawe anasema hivi juu ya manabii wanaowapotosha watu wake, manabii ambao wanatabiri amani wakipewa kitu, lakini wanawatishia watu kwa vita wasipopewa kitu:


Kwa hiyo hasira ya Yawe iliwawakia watu wake, akaunyoosha mukono wake juu yao, akawaazibu. Milima ikatetemeka, maiti zao zikakuwa kama takataka katika barabara za muji. Hata hivyo, hasira yake haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu.


Hakuna! Mutajikunja tu kati ya wafungwa na kuangamia pamoja na wanaouawa katika vita. Hata hivyo, hasira yake haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu.


Kila mutu anadanganya jirani yake, hakuna hata mumoja anayesema ukweli. Wamezifundisha ndimi zao kusema uongo; anatenda uovu kwa kadiri ya kushindwa kabisa kunigeukia.


Kwa hiyo uwaache watoto wao wakufe kwa njaa, uwaache wakufe kwa vita. Wake zao wakuwe tasa na wajane. Waume zao wakufe kwa magonjwa makali na vijana wao wachinjwe kwa upanga katika vita.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite