Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 8:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Nikalala na muke wangu ambaye vilevile ni nabii, akapata mimba, akazaa mutoto mwanaume. Yawe akaniambia: Umupe mutoto huyo jina “Teka-haraka-nyanganya-upesi.”

Gade chapit la Kopi




Isaya 8:3
6 Referans Kwoze  

Kwa hiyo kuhani Hilkia, Ahikamu, Akibori, Safanu na Asahiya, wote walikwenda kuomba shauri kwa mwanamuke mumoja nabii jina lake Hulda aliyekuwa muke wa Salumu mwana wa Tikwa, mujukuu wa Harihasi, mutunza nguo za hekalu. Wakati ule, Hulda alikuwa anaishi katika mutaa wa pili wa Yerusalema, nao wakazungumuza naye.


Wakati ule, kulikuwa nabii mumoja mwanamuke aliyeitwa Debora, muke wa Lapidoti, aliyekuwa mwamuzi wa Waisraeli wakati ule.


Yawe aliniambia hivi: Twaa ubao mukubwa, uandike juu yake maneno yanayosomeka waziwazi: “Teka haraka. Nyanganya Upesi.”


Kesho yake asubui, Pashuri akamufungua Yeremia toka minyororo ile. Yeremia akamwambia hivi: Yawe hakuiti tena jina lako “Pashuri”, lakini “Kitisho Kila Pahali”.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite