Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 8:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Basi, nikajipatia washuhuda wawili waaminifu ambao wangenishuhudia: Kuhani Uria na Zekaria mwana wa Yeberekia.

Gade chapit la Kopi




Isaya 8:2
8 Referans Kwoze  

Hii ni safari yangu ya tatu ninayotayarisha kuja kwenu. Kama Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Kila neno linapaswa kuhakikishwa kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.”


Alikuwa na umri wa miaka makumi mbili na mitano alipoanza kutawala. Akatawala miaka makumi mbili na tisa akiwa kule Yerusalema. Mama yake aliitwa Abi binti ya Zakaria.


Halafu Boazi akawaita wazee kumi wa muji, akawaomba wao vilevile waikae pale. Wakaikaa.


Nitalinda agizo hilo na kuchunga mafundisho hayo kati ya wafuasi wangu.


Nikatia sahihi juu ya barua ya ununuzi, nikaipiga muhuri, nikawaita washuhuda na kuipima ile feza juu ya mizani.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite