Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 59:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Munatoa mayai ya nyoka yenye sumu, munafuma wavu wa buibui. Anayekula mayai yenu anakufa, na yakipasuliwa, nyoka anatokea ndani yake.

Gade chapit la Kopi




Isaya 59:5
6 Referans Kwoze  

Yoane alipoona Wafarisayo wengi na Wasadukayo wakimufikia kwa kubatizwa, aliwaambia: “Ninyi kikundi cha nyoka! Ni nani aliyewaambia kwamba munaweza kuponyoka azabu ya Mungu inayokaribia?


Ninyi kikundi cha nyoka! Namna gani ninyi munaokuwa wabaya, munaweza kusema maneno mazuri? Kwa maana kinywa kinasema maneno yanayojaa ndani ya moyo.


Musishangilie, enyi Wafilistini wote, kwamba Asuria, fimbo iliyowapiga, imevunjika; maana, nyoka wa kawaida atazaa nyoka mwenye sumu, na nyoka mwenye sumu atazaa nyoka mukubwa mwenye kuruka.


Kwa mwisho inauma kama nyoka; inachoma kama fira mwenye sumu.


Tegemeo lao linavunjika, tumaini lao ni utando wa buibui.


Humo bundi watataga mayai na kuyaatamia, watatotoa vitoto na kuviweka chini ya kivuli chao. Humo tai watakutanana, kila mumoja na mwenzake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite