Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 44:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Hakika wote wanaoshirikiana na sanamu watapata haya, tena hao wafundi wa sanamu ni wanadamu tu. Basi, wakutane wote, wajitokeze, nao wataogopa na kufezeheka.

Gade chapit la Kopi




Isaya 44:11
22 Referans Kwoze  

Wote wanaotegemea sanamu za miungu, wote wanaoziambia “Ninyi ni miungu yetu” watakomeshwa na kupata haya.


Watengenezaji wa sanamu watapata haya na kuzarauliwa, wote pamoja watafezeheka.


Mutapata haya kwa ajili ya miti ya mialo muliyoipenda sana; mutafezeheka kwa sababu ya bustani mulizofurahia.


Wote wanaoabudu sanamu na kujisifia miungu ya bure wanafezeheshwa. Miungu yote inainama mbele yake.


Kila mutu ni mupumbafu bila maarifa, kila mufua vyuma anapatishwa haya na miungu yake; maana sanamu zake ni udanganyifu mutupu, wala hazina pumzi ndani yake.


Mwanadamu ni mujinga na mupumbafu; kila mufua zahabu anafezeheshwa na sanamu zake. Sanamu hizo ni uongo mutupu, hazina uzima wowote ndani yao.


Halafu Elia akawaambia: “Muwakamate manabii wote wa Bali. Musimwache hata mumoja wao atoroke!” Basi, watu wakawakamata wote, naye Elia akawapeleka kwenye muto Kisoni, akawauia kule.


Watu wote wanaotengeneza sanamu za miungu ni bure kabisa; na vitu hivyo wanavyovifurahia haviwafalii kitu chochote. Wanaoshuhudia hiyo miungu ya uongo ni vipofu na wajinga. Kwa hiyo hao watafezeheshwa!


Basi, mimi Yawe ninasema: Watumishi wangu watakula, lakini ninyi mutasikia njaa; watumishi wangu watakunywa, lakini ninyi mutasikia kiu; watumishi wangu watafurahi, lakini ninyi mutafezeheka.


Huko mutatumikia miungu ya miti na mawe ambayo imetengenezwa kwa mikono ya watu na ambayo haiwezi kuona, haisikii, haikuli wala kunusa.


Waefuraimu wanaendelea kutenda zambi, wanajitengenezea sanamu za feza yenye kuyeyushwa, sanamu zinazotengenezwa kwa ufundi wao, zote zikiwa kazi ya wafundi. Wanasema: Muzitambikie! Wanaume wanabusu sanamu ya mwana-ngombe!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite