Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 43:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Muwalete mbele watu hao, ambao wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii!

Gade chapit la Kopi




Isaya 43:8
9 Referans Kwoze  

Naye akaniambia: Kwenda kuwaambia watu hawa hivi: Mutasikiliza sana, lakini hamutaelewa; mutaangalia sana, lakini hamutaona.


Wewe mwanadamu! Wewe unakaa kati ya watu waasi. Wana macho lakini hawaoni; wana masikio lakini hawasikii.


Musikilize, enyi wajinga na wapumbafu: ninyi munaokuwa na macho, lakini hamwoni, munaokuwa na masikio, lakini hamusikii.


kusudi ‘Wapate kuangalia, lakini wasione; nao wapate kusikia, lakini wasikuwe na ufahamu, kusudi wasipate kumugeukia Mungu na kusamehewa.’ ”


Siku hiyo viziwi watasikia ujumbe ukisomwa katika kitabu na kutoka katika giza, vipofu wataanza kuona.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite