Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 40:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Majani yananyauka na maua yanafifia, Yawe anapovumisha upepo juu yake. Hakika wanadamu ni kama majani.

Gade chapit la Kopi




Isaya 40:7
15 Referans Kwoze  

Kwake, gongo ni kama kipande cha bua; anacheka akitupiwa mikuki kwa wingi.


na ndugu anayekuwa tajiri afurahi kwa sababu Mungu anamushusha. Maana tajiri atatoweka kama maua ya pori.


Jua linatokea na kwa joto kali linakausha mimea, nayo maua yake yanaanguka na uzuri wake wote unaharibika. Hivi ndivyo tajiri naye atakavyotoweka katika shuguli zake.


Mungu anawaangamiza kwa pumzi yake; wanateketezwa kwa kuvuma kwa hasira yake.


Anachanua kama maua, kisha ananyauka. Anakimbia kama kivuli na kutoweka.


Unatowesha mbali watu kama ndoto! Wanadamu ni kama majani yanayochipuka asubui:


asubui yanachipuka na kuchanua, magaribi yamekwisha nyauka na kukauka.


Siku zangu zinapita kama moshi; mifupa yangu inaungua kama katika furu.


upepo unapovuma juu yake yanatoweka, na mahali yalipokuwa hapaonekani tena.


Atawaamulia wamasikini kwa haki na kutetea haki za wakosefu katika inchi. Kwa neno lake dunia itaazibiwa, kwa pumzi yake waovu watauawa.


Wakaaji wake wakiwa wameishiwa nguvu, wametishika na kufazaika, wamekuwa kama mimea ya shamba, kama majani changa, kama majani yanayoota juu ya paa, yanayokauka mbele ya kukomaa.


Mara tu wanaposimikwa na kuanza kuota, hata mbele hawajatoa mizizi kama miti katika udongo, Yawe akiwapulizia wananyauka, upepo mukali unawapeperusha kama makapi!


Yawe anasema hivi: Mimi, kweli mimi, ndiye ninayekufariji. Kwa nini wewe unamwogopa mutu ambaye ni wa kufa, mwanadamu ambaye anatoweka kama majani?


Mulitazamia mavuno mengi, lakini mulipata kidogo tu. Mulipoyaleta kwenye nyumba, niliyapeperusha mbali. Kwa nini? Kwa sababu nyumba yangu ni mabomoko matupu wakati kila mumoja wenu anashugulikia nyumba yake.


Maisha ya mwanadamu ni kama majani tu, yanachanua kama maua:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite