Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 34:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Inchi itaitwa Inchi bila Mufalme; wakubwa wake wote wametoweka.

Gade chapit la Kopi




Isaya 34:12
10 Referans Kwoze  

Ninasema kama mupumbafu, lakini ni ninyi ndio mumenilazimisha kufanya vile. Kufuatana na ile, ningepaswa kusifiwa nanyi. Kwa maana hata kama mimi si kitu, wale mitume wenu wanaohesabiwa kuwa wakubwa hawanipiti kitu kabisa.


Hata nikiwa na zawadi ya kutabiri, na uwezo wa kujua mafumbo yote na maarifa yote; hata nikiwa na imani kubwa inayoweza kuhamisha milima; lakini kama sina upendo, mimi ni kitu bure.


Basi kuelekea lile ulizo juu ya kula nyama za kutambikiwa kwa sanamu za miungu, tunajua kwamba sanamu ni kitu bure katika dunia, na ya kuwa kuna Mungu mumoja peke yake tu.


Kulekule Ribla, mufalme wa Babeli aliwaua wana wa Zedekia mbele ya baba yao. Waliwaua vilevile wakubwa wote wa Yuda.


ambavyo Nebukadneza, mufalme wa Babeli, hakuvichukua wakati alipowapeleka Yekonia mwana wa Yoyakimu, mufalme wa Yuda na waheshimiwa wote wa Yuda na Yerusalema kwenda katika uhamisho.


Hakika, ninyi si kitu kabisa. Hamuwezi kufanya kitu chochote. Anayechagua kuwaabudu ninyi ni chukizo.


Yeye anawashusha wakubwa wenye nguvu, anawafanya watawala wa dunia kuwa si kitu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite