Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 34:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Itawaka usiku na muchana bila kuzimika, moshi wake utapanda juu milele. Inchi itakuwa jangwa siku zote, hakuna atakayepitia huko milele.

Gade chapit la Kopi




Isaya 34:10
15 Referans Kwoze  

Nao wakasema tena: “Mungu asifiwe! Moshi wa moto unaoteketeza ule muji mukubwa unapanda juu kwa milele na milele!”


Kisha watakwenda kuziona maiti za wale walioniasi. Wadudu watakaowakula hawatakufa, na moto utakaowachoma hautazimika hata kidogo. Watakuwa chukizo kwa watu wote.


Hautakaliwa tena na watu hata kidogo, watu hawataishi humo katika vizazi vyote. Hakuna Mwarabu atakayesimamisha hema yake humo, wala muchungaji atakayechunga nyama wake humo.


Walilalamika walipoona moshi wa moto uliouteketeza ukipanda juu wakisema: “Muji gani ungeweza kulinganishwa na muji huu mukubwa!”


Hakuna mutu wala nyama atakayepita huko. Haitakaliwa kwa muda wa miaka makumi ine.


Wenye nguvu watakuwa kama majani yenye kukauka, matendo yao yatakuwa kama cheche za moto. Watateketea pamoja na matendo yao, wala hakutakuwa mutu wa kuwaokoa.


Kwa hiyo, Bwana wetu Yawe anasema hivi: Nitaimwanga hasira yangu juu ya pahali hapa, juu ya wanadamu na nyama, miti katika mashamba na juu ya mazao ya inchi. Nayo nafasi hii itawaka moto wala hautaweza kuzimishwa.


Sasa Yawe anaiharibu dunia na kuifanya tupu. Atavuruga uso wa dunia na kuwatawanya wakaaji wake.


Yawe amepanga sehemu ya kila mumoja wao, ametumia kamba kuwapimia inchi hiyo; watairizi milele na milele, wataishi mule kizazi hata kizazi.


Munyanganye feza, munyanganye zahabu! Mali yake haina mwisho! Kuna wingi wa kila kitu cha bei kali!


Kama vile Sodoma na Gomora na miji jirani yake ilivyoangamizwa, hakutakuwa mutu yeyote atakayeishi Edomu wala kufanya mashauri humo. –Ni Yawe anayesema.–


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite