Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 32:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Mioyo ya wasiofikiri itapata ufahamu, wenye vigugumizi watasema upesi.

Gade chapit la Kopi




Isaya 32:4
14 Referans Kwoze  

Waliopotoka katika roho watapata maarifa na wenye kunungunika watakubali kufundishwa.


lakini yalikuwa yakisikia tu habari kwamba: “Yule aliyekuwa akitutesa zamani, sasa anahubiri habari za imani ile aliyokuwa akipotosha.”


Basi Neno la Mungu likazidi kuenea katika Yerusalema na hesabu ya wanafunzi ikaongezeka sana kule na makuhani wengi wakaamini.


Wajumbe wa Baraza Kubwa walishangaa sana kuona namna Petro na Yoane walivyosema bila woga na kujua kwamba walikuwa watu wasiojulikana na wasiokuwa na elimu. Wakatambua kwamba walikuwa pamoja na Yesu.


Halafu Yesu akamwambia: “Heri kwako, wewe Simoni mwana wa Yona, kwa maana hakuna mutu aliyekufunulia neno hili isipokuwa Baba yangu anayekuwa mbinguni.


Katika siku zile Yesu akasema: “Ee Baba, Mwenyeji wa mbingu na dunia, ninakushukuru kwa maana mambo uliyoyaficha kwa watu wenye hekima na elimu, umeyafunua kwa wanaokuwa wadogo.


Nilisema nitapanda muti wa ngazi na kuchuma shada za ngazi. Kwangu maziba yako ni kama shada za zabibu, harufu nzuri ya pumzi yako ni kama matunda ya mutofaa;


Halafu Yawe akamwuliza: “Ni nani aliyeumba kinywa cha mutu? Ni nani anayemufanya mutu kuwa bubu au kiziwi? Aone au akuwe kipofu? Si mimi Yawe?


Muwaambie waliovunjika moyo: Mujipe moyo, musiogope! Muangalie Mungu wenu atakuja kulipiza kisasi, atakuja kuwaazibu waadui zenu; atakuja yeye mwenyewe kuwaokoa ninyi.


Hapo vipofu wataona tena, na viziwi watasikia tena.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite