Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 26:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Moyo wangu unakutamani usiku kucha, nafsi yangu inakutafuta kwa moyo. Utakapohukumu dunia, watu wote katika ulimwengu watajifunza haki.

Gade chapit la Kopi




Isaya 26:9
28 Referans Kwoze  

Lakini ninyi mushugulikie kwanza Ufalme wa Mungu na kufuata haki mbele yake, naye atawaongezea vitu vile vyote.


Usiku kati ninaamuka kwa kukusifu, kwa sababu ya maamuzi yako ya haki.


Zaburi ya Daudi wakati alipokuwa katika jangwa la Yudea.


Kesho yake asubui kulipokuwa kungali giza, Yesu akaamuka, akatoka katika muji na kwenda pahali penye ukiwa, kule akaanza kuomba.


Na saa ile ile, kukatokea tetemeko kubwa la inchi, na sehemu moja ya kumi ya muji ikabomoka, na watu elfu saba wakakufa katika tetemeko lile. Watu waliobaki wakashikwa na hofu, nao wakamutukuza Mungu wa mbinguni.


Katika siku zile, Yesu akapanda juu ya kilima kwenda kuomba na kukesha usiku wote akiomba Mungu.


Mumutafute Yawe wakati angali anaweza kupatikana, mumwombe musaada wakati angali karibu.


Ninawapenda wale wanaonipenda; wanaonitafuta kwa bidii wananipata.


Watu wa haki watafurahi wanapoona waovu wanaazibiwa; watatembea katika damu ya watu wabaya.


Nitarudi mahali pangu na kujitenga nao mpaka watambue kosa lao na kunirudilia. Taabu zao zitawafundisha wanitafute.


Hivi ndivyo uovu wa wazao wa Yakobo utakavyoondolewa, hivi ndivyo zambi yake itakavyofutwa kabisa: ataziharibu mazabahu za miungu; mawe yake yatasagwasagwa kama chokaa. Sanamu za Ashera wala mazabahu za kufukizia ubani hazitabaki.


Ninamungojea Yawe kuliko vile wazamu wanavyongojea mapambazuko, ndiyo, kuliko vile wazamu wanavyongojea mapambazuko.


Atawaangamiza kwa sababu ya maneno yao; kila atakayewaona atatikisa kichwa.


Wafezeheke na kuhangaika milele, waangamie kwa haya kabisa.


Kila mara alipowaua, waliobaki walimugeukia; wakageuka toka ubaya wao, wakamugeukia Mungu kwa moyo.


Nitakushukuru maisha yangu yote, nitakuomba nikikuinulia mikono yangu.


Yeye ndiye Yawe, Mungu wetu; hukumu zake zina nguvu katika dunia yote.


Usiku ninakukumbuka, ee Yawe, na kushika sheria yako.


Nani kati yenu anayemwogopa Yawe? Nani anayetii maneno ya mutumishi wake? Kama kuna mutu anayetembea katika giza bila taa, amutumainie Yawe, na kumutegemea Mungu wake.


Usiku kucha uamukeamuke na kulia. Umufungulie Yawe yanayokuwa ndani ya moyo wako. Umwinulie mikono yako kwa kuwaombea watoto wako, watoto wanazimia na njaa popote katika barabara.


Yawe ni muzuri kwa wanaomutegemea, kwa wote wanaomutafuta.


Utakuwa kitu cha kuzarauliwa na cha haya, mufano wa kitu cha kuchukiza kwa makabila yanayokuzunguka, wakati nitakapotimiza hukumu zangu juu yako kwa hasira na kasirani yangu kali. Ni mimi Yawe ninayasema hivyo.


Yeye Yawe, ndiye Mungu wetu; hukumu zake zina nguvu katika dunia yote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite