Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 21:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Maana Bwana aliniambia hivi: Katika muda wa mwaka mumoja, bila kuzidi wala kupunguka, utukufu wote wa Kedari utakwisha.

Gade chapit la Kopi




Isaya 21:16
11 Referans Kwoze  

Makundi ya nyama wa inchi ya Kedari yatakusanyika kwako, utaweza kuwatumia kondoo dume wa Nebayoti; utatoa sadaka inayokubaliwa kwenye mazabahu ya Mungu, naye ataitukuza nyumba yake tukufu.


Lakini sasa Yawe anasema hivi: Nyuma ya miaka mitatu kamili, ikihesabiwa kama vile mutumishi anavyohesabu siku zake, utukufu wa Moabu utapunguka. Ingawa watu wake ni wengi, watakaobaki wazima watakuwa wachache na wazaifu.


Ole wangu maana ninaishi kama mugeni huko Meseki; ninaishi kama mugeni katika mahema ya Kedari.


Waarabu na wakubwa wote wa inchi ya Kedari walikuwa wachuuzi wako wakubwa katika biashara ya wana-kondoo, kondoo dume na mbuzi.


Enyi wabinti wa Yerusalema, mimi ni mweusi. Ninapendeza kama mahema ya Kedari, kama mapazia ya nyumba ya Solomono.


Juu ya Kedari na falme za Hazori ambazo Nebukadneza mufalme wa Babeli alizishambulia na kuzishinda, Yawe anasema hivi: Simama uende kulishambulia kabila la Kedari! Uwaangamize watu wa mashariki!


jangwa na miji yake yote vipige kelele, vijiji vya wakaaji wa Kedari vimusifu, wakaaji wa Sela waimbe kwa shangwe; wapige kelele kutoka juu kwenye mulima.


Haya ni majina yao kufuatana na kuzaliwa kwao: Nebayoti, muzaliwa wa kwanza, Kedari, Adibeli, Mibusamu,


Mwanadamu ana magumu katika dunia, na siku zake ni kama siku za mutumishi wa mushahara!


Nebayoti, ndiye muzaliwa wake wa kwanza, Kedari, Abudeli, Mibusami,


Basi muvuke bahari mpaka Kipuro, muone, au mutume watu huko Kedari wachunguze, kama jambo kama hili limekwisha kutokea.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite