Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 2:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Sasa, enyi wazao wa Yakobo, mukuje, tutembee katika mwangaza wa Yawe.

Gade chapit la Kopi




Isaya 2:5
16 Referans Kwoze  

Zamani muliishi katika giza, lakini sasa, kwa kuungana kwenu na Bwana, munaishi katika mwangaza. Muishi kama watoto wa mwangaza,


Lakini kama tunaishi katika mwangaza kama vile Mungu mwenyewe anavyokaa katika mwangaza, tunashirikiana sisi kwa sisi, na damu ya Mwana wake Yesu inasafisha zambi zetu zote.


Atawaangazia wale wanaoishi katika giza na wanaokaa katika kivuli cha kifo, kusudi atuongoze tupate kufuata njia ya amani.”


Na hii ndiyo habari tuliyoisikia kutoka kwa Yesu Kristo na kuitangaza kwenu: Mungu ni mwangaza, na ndani yake hamuna giza hata kidogo.


Yawe anasema: Piga kelele, wala usijizuize; ulalamike kwa sauti kubwa kama baragumu. Uwatangazie watu wangu makosa yao, uwaambie wazao wa Yakobo zambi zao.


watu wengi wataenda kule na kusema, Mukuje tupandie kwenye mulima wa Yawe, tuende kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo, apate kutufundisha njia zake, nasi tutafuata mapito yake. Maana sheria itakuja kutoka Sayuni; neno la Yawe kutoka Yerusalema.


Haki na sheria ndio musingi wa utawala wako; wema na uaminifu vinakutangulia!


Wewe ndiwe asili ya uzima; kwa mwangaza wako tunaona mwangaza.


Heri watu wanaojua kukushangilia, wanaoishi katika mwangaza wa wema wako, ee Yawe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite