Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 2:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 juu ya mashua yote makubwa ya Tarsisi, na juu ya mashua yote mazuri.

Gade chapit la Kopi




Isaya 2:16
13 Referans Kwoze  

Kwa sababu mufalme Solomono alikuwa na mashua kubwa za Tarsisi zilizokuwa zikisafiri pamoja na mashua za Hiramu, kisha kila miaka mitatu mashua hizo za Tarsisi zilimuletea mufalme zahabu, feza, pembe, kima, na tausi.


Ujumbe wa Mungu juu ya Tiro. Muomboleze, enyi mashua makubwa za kutoka Tarsisi. Kivuko na muji wenu vimeharibiwa. Mutapokea habari hizo mutakaporudia kutoka Kipuro.


Wachuuzi wa dunia watalia na kuufanyia kilio kwa sababu hakuna mutu atakayewanunulia tena biashara zao


Ni mashua zinazotoka katika inchi za mbali, zikitanguliwa na mashua za Tarsisi. Zinawaleta watoto wako, pamoja na feza na zahabu yao, kwa sifa ya Yawe, Mungu wako, kwa sifa ya Mungu, Mutukufu wa Israeli, maana amewafanya mupate utukufu.


Mumwimbie Mungu sifa, mumwimbie! Mumwimbie mufalme wetu sifa, mumwimbie!


muwafukuze wenyeji wote wa inchi hiyo mbele yenu. Mutaziharibu sanamu zao zote za mawe na za kuyeyushwa na kubomoa kila pahali pao pa ibada.


Sehemu moja ya tatu ya viumbe vinavyoishi katika bahari vikakufa, na sehemu moja ya tatu ya mashua ikaharibika.


Kiburi cha wanadamu kitashushwa, majivuno ya watu yatanyenyekezwa, na Yawe peke yake atatukuzwa siku hiyo.


Mulie enyi mashua za Tarsisi, maana kimbilio lenu limeharibiwa.


Nitaweka kati yao kitambulisho cha uwezo wangu. Watakaookolewa kati yao nitawapeleka kwa watu wa mataifa kule Tarsisi, Puti, Ludi, inchi zenye wafundi wa kupiga upinde; watakwenda vilevile Tubali na Ugriki na katika visanga vya mbali ambapo watu hawajapata kusikia habari zangu wala kuuona utukufu wangu. Wale wajumbe wangu watautangaza utukufu wangu katika mataifa hayo.


Mashua makubwa za Tarsisi ndizo zilikusafirishia vitu vyako. Basi wewe ulikuwa umejaa vitu kama vile mashua katikati ya bahari.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite