Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 19:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Lakini wakubwa wa Soani ni wapumbafu, wakubwa wa Nofi wamedanganyika. Hao wanaokuwa musingi wa makabila yao wamelipotosha taifa la Misri.

Gade chapit la Kopi




Isaya 19:13
14 Referans Kwoze  

Bwana wetu Yawe anasema hivi: Nitaharibu sanamu za miungu, na kukomesha miungu ya uongo ya muji wa Nofi. Hakutakuwa mukubwa tena huko Misri. Nitasababisha hofu itawale katika inchi ya Misri.


Hata watu wa Nofi na Tahapanesi, wamenyoa nywele ya kichwa chake.


Kwa ukoo wa Yuda kutatokea: watawala wa kila namna, wakubwa wenye nguvu kama jiwe kubwa la musingi, wanaokuwa imara kama musumari wa hema, wenye nguvu kama upinde wa vita.


Enyi wakaaji wa Misri, mujitayarishe na mizigo kwenda katika uhamisho! Maana muji wa Nofi utaharibiwa kabisa, utakuwa mabomoko yasiyokaliwa na watu.


Tangaza katika inchi ya Misri, uijulishe huko Migidoli, uijulishe huko Nofi na Tapanesi. Uwaambie: Mukae tayari kabisa maana upanga utawaangamiza kila nafasi.


Wakubwa wa muji wa Soani ni wapumbafu kabisa, washauri wa Mufalme wa Misri wanatoa shauri la kijinga! Kila mumoja anaweza namna gani kumwambia Mufalme wa Misri: Mimi ni wa uzao wa wenye hekima, wa uzao wa wafalme wa zamani!


Basi jiwe lile linahesabiwa kuwa la bei kali kwa wale wanaoamini. Lakini kwa wale wasioamini ni: “Jiwe lililotupiliwa na wajengaji, lakini sasa linakuwa jiwe kubwa la pembe.”


Wanajidai kwamba wao ni wenye hekima, lakini wako wapumbafu.


Nitateketeza inchi ya Misri kwa moto. Sini utashikwa na wasiwasi mukubwa, ukuta wa Nofi utabomolewa, nao Nofi utashambuliwa na waadui muchana wazi.


Saulo akasema: “Mukuje hapa enyi viongozi wa watu, tujue ni zambi gani tumetenda leo.


Ninamwona atakayekuja, ninamwona, lakini hayuko karibu. Nyota itatokea kwa wazao wa Yakobo, atatokea mufalme kati ya Waisraeli. Kwa fimbo yake atapiga viongozi wa Wamoabu, atawaangamiza wazao wote wa Seti.


Yawe akamutolea Yeremia ujumbe juu ya Wayuda waliokuwa wanakaa katika inchi ya Misri katika miji ya Migidoli, Tapanesi, Nofi na sehemu ya Patro:


Muji wa Patro nitaufanya kuwa tupu, muji wa Soani nitauteketeza kwa moto, nitauazibu muji wa No.


Mutakapoyakimbia maangamizi ya inchi yenu, Misri itawakaribisha ninyi kwake, lakini makaburi yenu yanawangoja kule Memufisi. Michongoma itaota katika vyombo vyenu vya feza, miiba itajaa katika mahema yenu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite