Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 18:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Maana, mbele ya mavuno, wakati wa kuchanua umekwisha, maua yameanguka na kuwa zabibu yenye kukomaa, Mungu atakata chipukizi kwa upanga, na kuyakwanyua matawi.

Gade chapit la Kopi




Isaya 18:5
6 Referans Kwoze  

Miti ya tini imeanza kuzaa na mizabibu imechanua. Inatoa harufu nzuri. Kuja, basi, ewe mupenzi wangu unayenipendeza, kuja tuende.


Mutukamatie mbweha, wale mbweha wadogowadogo, wanaoharibu mizabibu yetu inayochanua.


Matawi ya miti yamekauka na kuvunjika; wanawake wanayaokota na kuyawasha moto. Watu hawa hawajaelewa kitu, kwa hiyo Mungu, Muumba wao, hatawahurumia, yeye aliyewafanya, hatawatendea mema.


Bwana, Yawe wa majeshi atakata matawi kwa ukali, miti mirefu itaangushwa chini, wanaokuwa juu watashushwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite