Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Isaya 16:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Sasa Wamoabu wanalia; wote wanaomboleza juu ya inchi yao. Muomboleze kwa ajili ya pigo hilo kubwa, na juu ya maandazi ya zabibu za Kiri-Hareseti.

Gade chapit la Kopi




Isaya 16:7
8 Referans Kwoze  

na kuibomoa miji yao. Kila nafasi walipopita kwenye shamba zuri, kila mutu alilirushia jiwe mpaka kila shamba likajaa mawe; vilevile wakaziziba chemichemi zote za maji na kukata miti yote mizuri. Nyuma ya hayo, kukabaki muji mukubwa wa Kiri-Haraseti peke yake, ambao waaskari wapiga-kombeo waliuzunguka na kuuteka.


Moabu imepatishwa haya maana imevunjika. Muomboleze na kuililia. Mutangaze kandokando ya muto Arnoni, kwamba Moabu imeharibika kabisa.


Hivyo, nafsi yangu inalilia Moabu kama kinubi, na moyo wangu kwa ajili ya muji wa Kiri-Heresi.


Watu wamoja watawaambia ninyi: Muombe shauri kwa mizimu na waaguzi wanaolia kama ndege; kwa sababu ni kawaida watu kuomba shauri kwa miungu yao, na kuomba shauri kwa wafu kwa ajili ya wanaokuwa wazima.


na akawagawanyia Waisraeli wote, wanaume na wanawake, kila mumoja akapewa mukate, kipande cha nyama na mukate wa zabibu.


Basi, walikaa na Daudi kwa muda wa siku tatu, wakikula na kunywa maana wandugu zao walikuwa wamekwisha kuwatayarishia vyakula.


Kwa hiyo ninaomboleza juu ya Moabu, ninalia kwa ajili ya Wamoabu wote, ninaomboleza juu ya watu wa Kiri-Heresi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite