15 Yeyote atakayeonekana atapigwa mukuki, atakayekamatwa atauawa kwa upanga.
Muwaue waaskari wake hodari; muache washukie kwenye machinjo. Ole kwao, maana siku yao imetimia, wakati wao wa kuazibiwa umefika!
Nimefungua gala yangu ya silaha, nikatoa humo silaha za kasirani yangu, maana mimi Bwana wa wote, Yawe wa majeshi, nina kazi ya kufanya katika inchi ya Wakaldea.
Maana wamekimbia mapanga, mapanga yaliyochomolewa, pinde zilizovutwa na ukali wa mapigano.
Ninakutumia kwa kuwaponda wanaume na wanawake, wazee na vijana, vijana wanaume na wabinti.