Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hosea 9:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Mutafanya nini katika sikukuu ile iliyopangwa, au katika karamu ya Yawe?

Gade chapit la Kopi




Hosea 9:5
4 Referans Kwoze  

Mutafanya nini siku ya azabu, siku zoruba itakapowakujia kutoka mbali? Mutamukimbilia nani kwa kuomba musaada? Mutakwenda wapi kwa kuweka mali yenu?


Kwa hiyo wakati wa mavuno nitaitwaa ngano yangu, nitaiondoa divai yangu kwa wakati wake. Nitamunyanganya nguo zangu za sufu na kitani, ambazo zilitumika kuufunika uchi wake.


manabii wanatabiri mambo ya uongo, nao makuhani wanatafuta faida yao wenyewe; nao watu wangu wanaona jambo hilo kuwa sawa. Lakini mwisho wake utakapofika mutafanya nini?


Enyi makuhani, muvae magunia kwa kuomboleza, mulie, enyi munaotumika kwenye mazabahu. Muingie katika hekalu muomboleze usiku kucha! Sadaka za chakula na kinywaji zimetoweka katika nyumba ya Mungu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite