Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hosea 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Gomeri alipomwachisha yule binti wake Asiyehurumiwa kunyonya, alipata mimba tena, akazaa mutoto mwingine mwanaume.

Gade chapit la Kopi




Hosea 1:8
4 Referans Kwoze  

Gomeri alipata mimba tena, akazaa mutoto mwanamuke. Yawe akamwambia Hosea: Umupange mutoto huyo jina la “Asiyehurumiwa”, maana sitawahurumia tena Waisraeli wala sitawasamehe.


Lakini nitawahurumia watu wa Yuda na kuwaokoa. Mimi Yawe, Mungu wao, nitawaokoa, lakini si kwa nguvu za waaskari, au pinde, au panga, au farasi au waaskari wapanda-farasi.


Yawe akamwambia Hosea: Umupange mutoto huyo jina la “Si wangu”, maana ninyi si watu wangu, wala mimi si Mungu wenu.


Isaka akaendelea kukomaa, na siku alipoachishwa kunyonya, Abrahamu akafanya karamu kubwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite