Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Hesabu 9:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Waisraeli washike sikukuu ya Pasaka kwa wakati uliopangwa.

Gade chapit la Kopi




Hesabu 9:2
12 Referans Kwoze  

Mufalme Yosia akafanyia Yawe sikukuu ya Pasaka katika Yerusalema, wakachinja wana-kondoo wa Pasaka siku ya kumi na ine ya mwezi wa kwanza.


Magaribi ya siku ya kumi na ine ya mwezi wa kwanza mutafanya kwa heshima yangu mimi Yawe sikukuu ya Pasaka.


Siku ya karamu ya Mukate Usiotiwa Chachu, ndiyo siku ile walipaswa kuchinja kondoo waliotayarishwa kwa ajili ya Pasaka ikatimia.


Siku ya kwanza ya karamu ya sikukuu ya Mukate Usiyotiwa Chachu, wakati ambapo walichinja kondoo wa Pasaka, wanafunzi wa Yesu wakamwuliza: “Unataka tuende wapi kukutayarishia karamu ya Pasaka?”


Katika siku ya kumi na ine ya mwezi wa kwanza, watu waliokuwa wamerudi kutoka katika uhamisho walisherehekea Pasaka.


Waisraeli walipokuwa wamepiga kambi kule Gilgali wakafanya sikukuu ya Pasaka magaribi ya siku ya kumi na ine ya mwezi katika mabonde ya Yeriko.


Siku ya kumi na ine ya mwezi wa kwanza ni Pasaka ya Yawe.


Hii itakuwa siku ya kumi na ine ya mwezi huu, wakati wa magaribi watafanya hivyo kufuatana na masharti na maagizo yake yote.


Kisha mufalme akawaamuru watu wote, akisema: “Mumufanyie Yawe, Mungu wenu, Pasaka, kama ilivyoandikwa katika kitabu hiki cha agano.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite